8 Aprili 2013

Habari kutoka 8 Aprili 2013

Bahrain: Nani Aliyesikia Milipuko ya Bomu na Nani ni Waathirika?

Wakuu wa Serikali nchini Bahrain wametangaza leo kwamba wafanyakazi wawili wa kigeni wameuawa na wa tatu akijeruhiwa vibaya katika milipuko mitano tofauti kwenye maeneo ya Gudaibiya na Adliya, kwenye mji mkuu Manama. kwenye mtandao wa twita, habari hizi zilipokelewa kwa mashaka, kutokuamini na kusababisha mwito kwa utatuzi wa kisiasa wa kumaliza hali ya ghasia katika nchi hiyo, kufuatilia kusambaa kwa maandamano ya kuipinga serikali yaliyoanza terehe 14 Februari, 2011.