Habari kutoka 26 Februari 2013
Bulgaria: Pamoja na Serikali Kujiuzulu Maandamano Yapamba Moto
Maandamano nchini Bulgaria yanaendelea: Ruslan Trad anataarifu kutoka mji mkuu wa Bulgaria kuwa, siku ya Jumapili, huko Sofia na katika majiji mengine, makumi ya maelfu ya watu waliandamana kupinga rushwa, gharama kubwa za huduma za jamii pamoja na umasikini.