Habari kutoka 18 Februari 2013
Vurugu Zinazofadhiliwa na Serikali Nchini Angola
Mwanablogu Claudio Silva anaandika kwenye makala yake Africa Ni Nchi kwamba mtazamo wa kina juu ya vurugu zinazofadhiliwa na serikali (kufukuzwa watu mijini na kupigwa kwa waandamanaji) unahitajika ili kuelewa...