Djamil Ahmat anaripoti kuwa rais Déby [1] wa Chadi amemteua mwanae wa kiume Mahamat Idriss Déby, 24, kuwa brigedia jenerali [2] [fr] pamoja na maafisa wengine wanne. Tchadanthopus anaongeza kuwa mwanae mwingine Zackaria Idriss Deby alisemekana kukabidhiwa umakamu wa rais [fr] [3] nafasi ambayo inampa madaraka yote wakati baba yake anapokuwa nje ya nchi.
Rais wa Chadi Awateua Wanawe Kushika Nafasi Nyeti
· Imeandikwa na Lova Rakotomalala Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Chad, Habari za Hivi Punde, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala