Baada ya mvua kubwa iliyosababisha mafuriko kusini mwa Msumbiji yaliyowaacha maelfu ya raia bila makazi na wengi kupoteza maisha, kikundi cha kiraia cha Msumbiji Makobo [2] kimeanza kampeni ya mshikamano inayoitwa “S.O.S. Chókwè [1]” kukusanya misaada ya hisani kwa ajili ya waathirika.
Msumbiji: Uhamasishaji wa Kiraia Kuwasaidia Waathirika wa Mafuriko
· Imeandikwa na Janet Gunter Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Msumbiji, Harakati za Mtandaoni, Majanga, Uandishi wa Habari za Kiraia