Lexpress.mu linaripoti kwamba Mauritius iko kwenye hatari kubwa [1] [fr] kufuatia kisiwa hicho kunyemelewa na uwezekano wa Kimbunga cha Dumile. Kisiwa cha Agaléga cha nchi hiyo kiliathiriwa vibaya na kimbunga hicho [2] [fr] na nishati ya umeme ulikatika kwa masaa 24. Kisiwa cha Réunion pia kiko kwenye hatari kubwa [3] [fr].
Mauritius na Visiwa vya Reunion Kukumbwa na Kimbunga Dumile
· Imeandikwa na Lova Rakotomalala Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Uandishi wa Habari za Kiraia