30 Septemba 2012

Habari kutoka 30 Septemba 2012

Kenya: Wito wa Mshikamano Baada ya Mashambulizi ya Kigaidi

  30 Septemba 2012

Siku chache kabla ya ufunguzi  wa GV2012 mjini nairobi, Kenya ilikumbwa na milipuko na utekaji nyara huko Mombasa na mjini Garissa. Mlipuko ulitokea katika sehemu ya burudani mnano Juni 24 na kuwauwa watu watatu siku moja baada ya ubalozi wa marekani kuonya mamlaka ya Kenya kuhusu mashambulizi hayo jijini. Umati huo ulikuwa umekusanyika katika kilabu kutazama robo fainali  kati ya Uingereza na Italia.

Mexico: Uandishi Kutoka Gerezani

  30 Septemba 2012

Enrique Aranda Ochoa writes literature from jail. Convicted of kidnapping in 1997 with a sentence of 50 years in prison, Enrique has used his time in jail to write six novels and earn various literature awards. His latest book, available for purchase in an electronic format, focuses on the mysteries of the Mayans.

India: Waume Kuwalipa Wake Zao kwa Kufanya Kazi za Nyumbani

  30 Septemba 2012

Wizara ya Maendeleo ya Watoto na Wanawake nchini India inaandaa mswada ambao, kama utapitishwa na bunge, utawalazimisha waume kisheria kuwalipa wake zao wanaoshinda nyumbani mshahara wa mwezi, kwa kufanya shughuli za nyumbani. Wizara ya Maendeleo ya Watoto na Wanawake nchini India inaandaa mswada ambao, kama utapitishwa na bunge, utawalazimisha waume kisheria kuwalipa wake zao wanaoshinda nyumbani mshahara wa mwezi, kwa kufanya shughuli za nyumbani.