19 Septemba 2012

Habari kutoka 19 Septemba 2012

Je, Sifa ya ‘Kisiwa cha Amani’ Tanzania Imeanza Kutoweka?

Tanzania imeshuhudia matukio kadhaa mabaya tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa 2010. Tukio la hivi karibuni ni kifo cha kikatili cha mwandishi wa habari wa Tanzania Daudi Mwangosi, aliyeuawa kwa bomu la machozi huko Iringa, Kusini mwa Tanzania, wakati polisi walipojaribu kukitawanya kikundi cha wafuasi wa chama cha upinzani.

19 Septemba 2012