Katika blogu ya Crónicas, Santos García Zapata anaeleza muktadha [1] [es] kuhusu uamuzi wa Rais wa kuanzisha mazungumzo ya amani [2] na makundi ya waasi. Kongresi ya ‘Kamisheni ya Amani’ imetangaza kwamba Rais Santos “hayupo peke yake” katika dhamira yake ya kupatikana kwa amani.
Serikali ya Kolumbia Yapanga Kufanya Mazungumzo na Waasi wa FARC
· Imeandikwa na Cati Restrepo (en) imetafsiriwa na Silvia Viñas, Mosi Simba
Mada za Habari: Amerika Kusini, Colombia, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala, Vita na Migogoro