Makundi mawili ya vijana Kaskazini mwa Nigeria Jumatano yalimkosoa Rais wa Seneti, David Mark, kutokana na matamshi aliyotoa siku za karibuni akiwataka viongozi wa mikoa ya kaskazini kudhibiti shughuli za kundi linaloogopwa sana la Boko Haram, Connected Africa anaripoti [1].
Nigeria: Rais wa Seneti Atakiwa Kuwataja Wafadhili wa Boko Haram
· Imeandikwa na Ndesanjo Macha Imetafsiriwa na Mosi Simba
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Naijeria, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia