Julai, 2012

Habari kutoka Julai, 2012

Hispania: Maandamano ya Wachimbaji Madini Yaungwa Mkono na Wananchi

Maelfu ya wananchi wa Uhispania wameungana na maandamano ya wachimbaji wa madini nchini humo, wakati waandamanaji hao walipowasili nchini Madrid baada ya kutembea kilometa 400 wakitokea kaskazini mwa nchi hiyo. Wachimbaji hao walishangazwa na kiwango cha hamasa kilichoonyeshwa, ambacho kiliongeza chachu ya kile ambacho sasa chaitwa 'usiku wa wachimbaji madini'

16 Julai 2012

Uganda: Aina Mpya ya Kifafa Yatishia Maisha ya Watoto.

James Propa shares photos and YouTube videos of the effects of nodding disease in Uganda. Nodding disease is a mentally and physically disabling disease that mostly affects children. It is currently restricted to small regions in South Sudan, Tanzania and northern Uganda.

14 Julai 2012

Wananchi wa Mexico Wanamchagua Rais Mpya

Mnamo tarehe 1 Julai, Wa-Mexico walipiga kura kumchagua rais wao mpya. Punde tu kura zilipoanza kupigwa, watumiaji wa mtandao wa intaneti walianza kutoa mawazo na uzoefu wao. Walipanga pia namna tovuti na alama ishara za mtandao wa twita zitakavyotumika kukusanya taarifa juu ya udanganyifu na nyendo zilizo kinyume cha sheria wakati wa uchaguzi huo.

12 Julai 2012

Palestina: Makala Kuhusu Kifo cha Arafat yaibua maswali

Kituo cha habari cha Al Jazeera hivi karibuni kilionyesha makala iliyohusu kifo cha utata cha rais wa Palestina Yasser Arafat kilichotokea mjini Paris mnamo Novemba, 2004. Makala hayo yanadai kwamba kiongozi huyo hakufa kifo cha kawaida, ila aliwekewa sumu ya poloni, madai ambayo yanaibua maswali mengi.

12 Julai 2012

Uganda: Kuvunja Utamaduni wa Ukimya Kuhusu Haki za Afya.

A video produced by Results for Development, an international non-profit organisation whose mission is to unlock solutions to tough development challenges, was released online recently to encourage Ugandans to break the culture of silence and take control of their health rights.A video produced by Results for Development, an international non-profit organisation whose mission is to unlock solutions to tough development challenges, was released online recently to encourage Ugandans to break the culture of silence and take control of their health rights.

11 Julai 2012

Somalia: Migawanyiko Mikubwa Kuhusu Katiba Mpya

Somalia, ambayo haijawahi kuwa na serikali kuu inayotawala nchi nzima tangu mwaka 1991, inaandika rasimu ya katiba mpya ambayo inatarajiwa kuhitimisha muda wa utawala wa serikali ya mpito iliyopo madarakani na kumchagua rais mpya. Hapa tumekusanya mijadala na mazungumzo ynayoendelea mtandaoni kuhusu rasimu hiyo ya katiba.

8 Julai 2012