22 Mei 2012

Habari kutoka 22 Mei 2012

Wanablogu wa Kenya: Je, ungependa kushiriki kwenye Mkutano wa Global Voices kuhusu Vyombo vya Habari vya Kiraia pasipo kulipia?

  22 Mei 2012

Mtandao wa Global Voices unawapa wanablogu sita (6) fursa ya kushiriki pasipo kulipia kwenye Mkutano wake unaohusu Vyombo vya Habari vya Kiraia utakaofanyika jijini Nairobi. Ili uweze kushinda moja ya nafasi hizo, andika makala ya walau maneno 500 au pungufu kidogo kuhusu mada hii: "Jinsi gani vyombo vya habari vya kiraia vinaweza kusaidia kufanya uchaguzi mkuu wa Kenya wa mwaka 2013 uwe wa amani".