Repoti [1] ya Unesco inaonesha ‘udhibiti wa hali juu’ wa vyombo vikuu vya habari nchini Singapore huku ikizitambua blogu na tovuti za vyombo vyauanahabari mpya [2] kuwa vinatoa “mazungumzo makini mbadala juu ya masuala muhimu ya kisiasa na jamii kama vile siasa za ndani ya nchi, haki za mashoga na wazee.”
Ripoti ya UNESCO kuhusu vyombo vya habari vya Singapore
· Imeandikwa na Mong Palatino Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Asia Mashariki, Singapore, Uandishi wa Habari za Kiraia, Vyombo na Uandishi wa Habari