- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Pakistani: ISI Walikuwa Wanafahamu Nini Kuhusu Laden?

Mada za Habari: Asia ya Kusini, Pakistan, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala, Vita na Migogoro

Faheem Haider katika blogu ya Sera ya Nchi za Nje ya Pakistani anahoji [1] kile ambacho Jeshi na Usalama wa Taifa (shirika la kijasusi) la Pakistani vilikuwa vinafahamu kuhusu gaidi mkuu Osama Bin Laden, ambaye aliingiliwa na kuuwawa huko Abbottabad, karibu na mji mkuu wa Pakistani.