Bomu lililipuka katika kiwanja cha ndege cha Domodedovo mjini Moscow, kwa uchache vifo vya kadri ya watu kumi vimeripotiwa. Mmiminiko wa Twita unapatikana hapa [1] (RUS) na hapa [2] (RUS, ENG). @ann_mint [3], ambaye anafanya kazi Domodedovo, alikuwa ni mmoja wa watumiaji wa kwanza wa Twita kuripoti juu ya mlipuko huo; “Kuna wahanga #domodedovo [4] tuombeeni,” aliandika [5] (ENG) dakika chache zilizopita.
Urusi: Mlipuko Katika Kiwanja cha Ndege cha Domodedovo
· Imeandikwa na Veronica Khokhlova Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Ulaya Mashariki na Kati, Urusi, Habari za Hivi Punde, Safari, Sheria, Uandishi wa Habari za Kiraia, Vita na Migogoro, RuNet Echo