Yaliyomo
- Habari Kusini mwa Sudan wakati Global Voices [2]
- Habari zilizochaguliwa za Global Voices [3]
- Rasilimali:
Sudani Kusini ilianza kupiga kura ya maoni [8] mnamo tarehe 9 Januari, 2011 ili kuamua kama waendelee kuwa sehemu ya Sudan [9]kama sehemu ya Makubaliano ya Jumla ya Amani yaliyofanyika mwaka 2005 kati ya Serikali kuu ya Khartoum na Chama cha Sudan Peoples’s Liberation Movement, au la. . Wakati huo huo, kura nyingine ya Maoni itaendeshwa mjini Abyei [10] kuamua kama itakuwa sehemu ya Sudani Kusini.
Sudani Kusini [8] (inayojulikana rasmi kama Serikali ya Sudani ya Kusini) ni sehemu inayojitegemea ya Sudani. Juba [8] ni mji wake mkuu. Imepakana na Ethiopia kwa mashariki, Kenya, Uganda, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kw aupande wa kusini, na Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa magharibi.
Tafadhali wasiliana na Ndesanjo Macha [11], mhariri wetu wa Afrika ya Kusini mwa jangwa la Sahara kama unayo maoni au ushauri.