31 Januari 2011

Habari kutoka 31 Januari 2011

Kazakhstan: Wanablogu Wajadili Dini

  31 Januari 2011

Kwa kuwa Kazakhstan haina sera bayana ya dini, imekuwa ada kwamba kila mtu ana uhuru wa kuwa na mtazamo wake katika masuala ya kiimani. Kama ilivyokuwa miaka ishirini iliyopita, hakuna ambaye kwa hakika anajishughulisha na mitazamo hii lukuki ya kidini, ambayo inathibitishwa na mjadala kuhusu dini na desturi , ambayo...

Dunia ya Uarabu: “Acheni Kulia Juu Sudani”

  31 Januari 2011

Kura ya maoni kwa ajili ya uhuru wa Sudani ya Kusini leo imeiweka nchi hiyo kwenye uangalizi wa karibu miongoni mwa watumiaji wa twita wa Kiarabu. Kuanzia Saudi Arabia mpaka Palestina, watumiaji Twita wa Kiarabu wanajadiliana kuhusu mshikamano, kugawanyika na rasili mali za Sudani.