Habari kutoka 28 Januari 2011
Syria: Propaganda ya Vyombo vya Habari vya Serikali Kuhusu Maandamano ya Tunisia na Misri
Mwanablogu wa ki-Syria Maurice Aaek amegundua[ar] kwamba vyombo vya habari vinavyoendeshwa na serikali nchini Syria vinachapisha habari za uongo na nusu-kweli kuhusu maandamano ya upinzani nchini Tunisia na Misri. Amegundua...
Sudani: Kura ya Maamuzi ya Uhuru wa Sudani Kusini kwenye Twita
Wapiga kura huko Sudani Kusini walipiga kura ili kuamua ama kujitenga au kubaki kuwa sehemu ya Sudani. Huu ni mkusanyo wa twita zinazohusiana na Kura ya Maoni. Unaweza kufuatilia twita moja kwa moja kwa kutumia alama ya #SudanRef.
Sudani: Kura ya Maoni ya Sudani ya Kusini katika Picha
Kura ya maoni inaendelea kupigwa huko Kusini mwa Sudani tangu tarehe 9 mpaka 15 Januari 2011 kuamua iwapo sehemu hiyo ya kusini itaendelea kubaki kuwa sehemu ya Sudani ama iwe nchi huru inayojitegemea. Hizi ni picha zinazoweka kumbukumbu muhimu ya kihistoria ya kura hiyo ya maoni katika Sudani ya Kusini.