Rajesh Jain kwenye Emergic analaumu [1] kupigwa marufuku utumaji wa jumla wa ujumbe wa simu za mkononi pamoja na ujumbe wa media-anuai ili kuzuia uhamasishaji umma kabla na baada ya hukumu ya Ayodhya.
India: Marufuku Kutuma Ujumbe wa Simu za Mkononi wa Jumla
· Imeandikwa na Rezwan Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Asia ya Kusini, India, Sheria, Teknolojia, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala