Habari kutoka 17 Agosti 2010
Jamaica: Dansi!
Tallawah ametuma picha kutoka katika muhula wa 2010 wa Kikundi cha Taifa cha Dansi cha Jamaica.
China: Pato la Taifa Linaongezeka, Matumizi Katika Huduma za Jamii je?
Tunaendelea kusikia kuwa uchumi wa China unaendelea kukua; je matumizi ya huduma za jamii yameongezeka? Akiba binafsi zinabaki kwenye benki, anaandika mwanablogu mmoja: kutokea hospitali mpaka shuleni mpaka malipo ya uzeeni, China haiwezi kujilinganisha.