Matthew Cassel anaripoti tukio la kujia la Theresa Seda, mfanyakazi wa ndani wa Kifilipino jijini Beirut. Soma habari za kina za kutisha za jinsi vifo vya namna hiyo vinavyoongezeka kwa idadi – vinaendelea kutotiliwa maanani kwenye Justimage [1].
Lebanoni: Matukio ya Wafanyakazi Kujiua ‘Yanadharauliwa’
· Imeandikwa na Katharine Ganly Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Lebanon, Habari za Wafanyakazi