Posti ya kwanza ya blogu iliyoandikwa kwa lugha ya Kifaransa kuhusu tetemeko la ardhi huko Haiti imetokea nje ya nchi hiyo, ikitangaza habari mbaya za kuanguka kwa Kasri ya Rais [1], hospitali [2] na majengo mengine na pia tishio la tsunami [3]. Kwa mujibu wa MetropoleHaiti [4], Marekani tayari imekwishapendekeza misaada ya kibinadamu.
Haiti: Maoni ya Mwanzo Kuhusu Tetemeko la Ardhi Lenye Ukubwa wa 7.0
· Imeandikwa na Fabienne Flessel Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Marekani ya Kaskazini, Nchi za Caribiani, Haiti, Marekani, Habari za Hivi Punde, Haki za Binadamu, Majanga, Uhamiaji na Uhamaji