Kwa mujibu wa Mohammed Hagos, mradi wa demokrasi katika Eritrea [1] unapaswa uanze kwa kuuondoa madarakani utawala uliopo sasa: “Kikwazo kinachowazuia watu wa Eritrea kujieleza ni utawala wa Issayas. Njia ya kuelekea demokrasia kwa hiyo inaanza na kuuondoa utawala wa Issayas haraka iwezekanavyo…”
Eritrea: Utawala Ulio Madarakani Uondelewe Haraka
· Imeandikwa na Ndesanjo Macha Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Eritrea, Haki za Binadamu, Siasa, Utawala