2 Januari 2010

Habari kutoka 2 Januari 2010

China: Adhabu ya Kifo kwa Akmal, ni Tendo la Kufuta Aibu ya Zamani

  2 Januari 2010

Akmal Shaikh, raia wa Uingereza aliyeshtakiwa kwa kuingiza mihadarati kinyume cha sheria nchini China, aliuwawa siku ya Jumanne japokuwa familia yake pamoja na serikali ya Uingereza waliomba adhabu ipunguzwe, wakidai kuwa alikuwa ni mgonjwa wa akili. Mahakama Kuu ya China hata hivyo ilikataa ombi la kuangalia hali ya akili ya...