“Wanamazingira na Waandishi kutoka Palestina, Jordan na Israel watakutana huko Madaba, Jordan mwezi huu kwa ajili ya warsha ya siku 2: “Kublogu kwa Ajili ya Mazingira” tarehe 20-21 Desemba,” anaandika Muisrael Green Prophet, kwenye Mideast Youth [1].
Israel: Kublogu Kwa Ajili Ya Mazingira Nchini Jordan
· Imeandikwa na Amira Al Hussaini Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Israel, Jordan, Palestina, Harakati za Mtandaoni, Mazingira, Teknolojia