Fikra Juu ya Mkosi Unaoyanyemelea Mafuta [1]: “kwa dibaji, Ninasema kuwa ninaamini katika haki za mali (ardhi na majengo), serikali yenye mipaka pamoja na mipango huru, japokuwa ni lazima niseme kuwa si rahisi kuidhibiti mikataba ya mafuta, hasa pale haki za mali (ardhi na majengo) zinapohusika.”
Ghana: Fikra Juu ya Mkosi Unaoyanyemelea Mafuta
· Imeandikwa na Ndesanjo Macha Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Ghana, Mazingira, Siasa, Uchumi na Biashara