Lucas Liganga aandika kuhusu usaliti wa Waziri Mkuu wa Ethiopia [1]: “kwa bahati mbaya, Waziri Mkuu wa Ethiopia meles Zenawi ambaye ni msemaji wa Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi amejiunga na Ufaransa na kubadili nakala ya Afrika, jambo ambalo limewastua wajumbe wa Afrika.”
Ethiopia: Meles Zenawi aisaliti Afrika
· Imeandikwa na Ndesanjo Macha Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Ethiopia, Mahusiano ya Kimataifa, Mazingira