5 Disemba 2009

Habari kutoka 5 Disemba 2009

Mwanamuziki mmoja wa Afrika Mashariki awashinda wengine wote kwa umaarufu wa mtandaoni duniani

Si wengi wanamfahamu kama Mwanaisha Abdalla bali Nyota Ndogo, ni jina linalojulikana kwenye kila nyumba katika Afrika Mashariki. Amekuwa akikusanya mashabiki wa mtindo wake wa kipekee wa Afrika Mashariki kwa miaka zaidi ya 4 sasa. Blogu yake, katika upande mwingine, imekuwa ikiendeshwa kwa muda wa miaka 3. Hapana shaka kuwa blogu hiyo imechangia ongezeko la kambi ya mashabiki kwenye mtandao wa intaneti.

China: Barafu Iliyotengezwa Uchina

  5 Disemba 2009

Jumapili hii iliyopita tarehe 1 Novemba, Beijing ilishuhudia kuanguka kwa mapema zaidi kwa theluji katika miaka 22 iliyopita. Badiliko hilo la ghafla la hali ya hewa, lililofunika kabisa mji mzima kwa barafu, liliwashangaza wakazi wengi. Lakini vyombo vya habari viliripoti baadaye kwamba uangukaji huo wa barafu ulisababishwa na ofisi ya...