Ubia wa Kuleta Mabadiliko umetoa tamko [1] linalowataka mwai kibaki na raila odinga kushirikiana na mahakama ya kimataifa ya Jinai na kuhakikisha muswada wa Tume Maalum unapitishwa nchini kenya na kurasimishwa kama sheria ndani ya wiki mbili.
Kenya: Mwai Kibaki na Odinga Budi Washirikiane na ICC
· Imeandikwa na Ndesanjo Macha Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Kenya, Sheria, Utawala, Vita na Migogoro