Kwa mujibu wa [1] Kian majeshi ya usalama yaliwashambulia waandamanaji katika viwanja vya hafteh tir mjini Teheran na kuwajeruhi watu kadhaa.
Iran: Majeshi Ya Usalama Yawashambulia Waandamanaji
· Imeandikwa na Fred Petrossian Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Iran, Maandamano, Siasa, Utawala