Adam Minter amesikitishwa na maoni ya Obama kwenye Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Jiji la Shanghai, hasa, maelezo yake kuwa “Mimi ni muunga mkono mkubwa wa kutokuchuja habari [1]“.
China: Obama ni Mshabiki Mkubwa wa Kutokuchuja Habari
· Imeandikwa na Oiwan Lam Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Asia Mashariki, Marekani ya Kaskazini, China, Marekani, Mahusiano ya Kimataifa, Siasa, Uhuru wa Kujieleza