Kwenye Do Unto Others, Samuel Nichols anaandika kuwa doria ya jeshi la Israel imeanza kuchoma moto [1] magari ambayo yanakamatwa yakijaribu kuvuka mpaka kutoka Ukanda wa Magharibikuingia Israel. Ametundika video hapa [2].
Palestina: IDF Yachoma Moto Magari Ya Wapalestina
· Imeandikwa na Ayesha Saldanha Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Israel, Palestina, Haki za Binadamu, Safari, Vita na Migogoro