Kampeni ya kukomesha Chanjo kwa kulazimishwa nchini Namibia imezinduliwa [1]: “ umoja wa Asasi za kijamii umetoa wito kwa Wanamibia wote kujiunga na kampeni ya kulaani chanjo kwa wanawake waishio na VVU bila ya ridhaa yao.
Namibia: Kampeni ya Kukomesha Chanjo za Lazima
· Imeandikwa na Ndesanjo Macha Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Namibia, Afya, Haki za Binadamu, Sheria, Utawala