15 Februari 2009

Habari kutoka 15 Februari 2009

Haiti: Fanmi Lavalas na Uchaguzi Ujao

  15 Februari 2009

Mwishoni mwa juma lililopita, ulimwengu wa wanablogu wa Kihaiti ulijaa habari za kutengwa kwa vyama vya siasa na Tume ya Muda ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa maseneta utakaofanyika mwezi Aprili 2009 , na siku ya tarehe 6 Januari, tume hiyo CEP ilichapisha orodha ya wagombea ubunge watakaokwaana kwenye uchaguzi ujao wa bunge nchini Haiti. Wanablogu wanaandika mawazo yao kuhusu wagombea walioachwa.

Ukraine: Umaarufu wa Yushchenko Unafifia

  15 Februari 2009

Kwa mujibu wa kura ya maoni iliyofanyika mwezi uliopita, Rais wa Ukraine Victor Yushchenko “angeshinda chini ya asilimia 2.9 ya kura kama uchaguzi wa rais ungefanyika mwishoni mwa mwezi Desemba 2008 au mwanzoni mwa mwezi wa Januari 2009.” Yafuatayo ni maoni yanayomhusu rais na wanasiasa wengine katika ulimwengu wa blogu za Ukraine.